By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Ukombozi ReviewUkombozi ReviewUkombozi Review
  • Home
  • Mashujaa
  • Poetry
  • Pan-Africanism
  • Previous Issues
    • Issue 1
    • Issue 2
    • Issue 3
    • Issue 4
    • Issue 5
    • Issue 6
    • Issue 7
    • Issue 8
    • Issue 9
    • Issue 10
    • Issue 11
    • Issue 12
    • Issue 13
    • Issue 14
    • Issue 15
    • Issue 16
    • Issue 17
    • Issue 18
  • Mission
  • Submissions
Reading: Lyrics: Saba Saba
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Ukombozi ReviewUkombozi Review
Font ResizerAa
  • Home
  • Mission
  • Previous Issues
    • Issue 1
    • Issue 2
    • Issue 3
    • Issue 4
    • Issue 5
    • Issue 6
    • Issue 7
    • Issue 8
    • Issue 18
    • Issue 9
    • Issue 10
    • Issue 11
    • Issue 12
    • Issue 13
    • Issue 14
    • Issue 15
    • Issue 16
    • Issue 17
    • Issue 18
  • Mashujaa
  • Poetry
  • Publications
  • Submissions
  • Contributors
Have an existing account? Sign In
Follow US
  • Advertise
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Ukombozi Review > Issue 2 > Lyrics: Saba Saba
Issue 2Poetry

Lyrics: Saba Saba

Monaja
Last updated: September 6, 2020 1:41 am
Monaja 5 years ago
Share
SHARE

Ilikuwa nineteen ninety, baada ya Ouko kukangwa
Kiasi kidogo kabla machafuko kuanza,
Serikali ya Nyayo ilisababisha vituko majanga,
Kudhulumu raiya ikitarajia wao kunyamaza,
Ni ukweli gava ya Kenyatta ilidhulumu wajaka,
But still Jaramogi alishikanisha watu wa Nyanza,
Na wa Central na wengine pia wa kupambana
Dhidi ya utawala wa Nyayo, walikataa kunyamaza (wakidai)

Saba, Saba, Saba, Saba, Saba, Saba,
Saba, Saba, Saba, Saba, Saba Saba,
Saba, Saba, Saba, Saba, Saba, Saba,
Saba, Saba, Saba, Saba, Saba, Saba

Turudi nyuma kiasi 78 kifo ya Unyato,
Moi akachukua nafasi yake ye akawa Orezo,
Ikumbukwe alikuwa na support ya gava ya Otato,
Juu walikuwa wanataka mtu hapo mwenye wangecontrol,
Akiingia ye kuna venye alikuwa anapendwa,
Kidogo ubaya wake ukaanza kujionyesha,
Vile mraiya zilianza kuwa na ukosefu wa pesa,
Same time Moi na mabeshte wake wakijiosesha,
Majaribio ya mapinduzi akaanza kuyashuhudia,
Maziwa kuchemka akaeka kifuniko juu ya sufuria,
83, 84 vifungo, mauaji ya Wagalla,
85,6,7 Mwakenya wakaanza kukamatwa,
88 kuibwa kwa kura za mlolongo,
89 mateso ya Nyayo house hayakuzima moto,
1990 wakabomoa nyumba za watu kule Muoroto,
Same year wananchi wakadai hata sisi si kidogo

Saba, Saba, Saba, Saba, Saba, Saba
Saba, Saba, Saba, Saba, Saba, Saba
Saba, Saba, Saba, Saba, Saba, Saba
Saba, Saba, Saba, Saba, Saba, Saba

Ka hukuwa na copy Saba Saba ilitoka kwa watanzania,
Wazae wetu wakatumia jina time wakiwaza njia,
Ya kupambana na gava yenye ilifanya wengi kuumia,
Saa ni wakati kuchukulia penye wazae waliachia,
Ni ukweli uhuru wa kuongea walichangia pakubwa,
But walitegemea wanasiasa baadaye wao wakuzwa,
Uongeze ganji za NGO nazo zikisukuma,
Agenda za nchi za ulaya kupitia mlango wa nyuma,
Agenda zile zile zinazoskuma BBI,
Swali tunafaa kujiuliza ni sisi why,
Hao wasee hutubeba ufala na hii haifai,
Kitu ka hii ingekataliwa na kina Miss Maathai
Msishangae tukibaki kuwa watumwa wao,
Tuna mkokoteni zetu but tunaskuma zao,
Reli tunalipia na madeni inapitia kwao,
Wanatumia gava ya Kenya kujiundia mathao

Saba, Saba, Saba, Saba, Saba, Saba
Saba, Saba, Saba, Saba, Saba, Saba
Saba, Saba, Saba, Saba, Saba,Saba
Saba, Saba, Saba, Saba, Saba, Saba

You Might Also Like

Now I know why I’ll be back

What Just Happened?

Ka’Rei: A Seed Of Change

This War Must Be Won

Vanity Forts!

TAGGED:monajasaba saba
Share This Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article In Conversation with Mneti Huru
Next Article How Ugly can it be? Evictions amidst Covid-19
Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

about us

Ukombozi Review is published by Ukombozi Library with solidarity support from Rosa Luxembourg Foundation.

Find Us on Socials

Copyright © Ukombozi Review. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Username or Email Address
Password

Lost your password?